2 Wathesalonike 2:16 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192116 Na Bwana wetu Yesu Kristo, na Mungu Baba yetu aliyetupenda akatupa faraja ya milele na tumaini jema, katika neema, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Tunamwomba Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe na Mungu Baba yetu ambaye alitupenda na kwa neema yake akatujalia faraja ya milele na tumaini jema, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Tunamwomba Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe na Mungu Baba yetu ambaye alitupenda na kwa neema yake akatujalia faraja ya milele na tumaini jema, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Tunamwomba Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe na Mungu Baba yetu ambaye alitupenda na kwa neema yake akatujalia faraja ya milele na tumaini jema, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Bwana wetu Isa Al-Masihi mwenyewe na Mungu, Baba yetu, aliyetupenda na kwa neema yake akatupatia faraja ya milele na tumaini jema, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Bwana wetu Isa Al-Masihi mwenyewe na Mungu Baba yetu, aliyetupenda na kwa neema yake akatupatia faraja ya milele na tumaini jema, Tazama sura |