2 Wathesalonike 2:12 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192112 illi wahukumiwe wote wasioamini kweli, bali walikuwa wakijifurahisha katika udhalimu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Matokeo yake ni kwamba wote wasioamini ukweli, bali wanafurahia dhambi, watahukumiwa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Matokeo yake ni kwamba wote wasioamini ukweli, bali wanafurahia dhambi, watahukumiwa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Matokeo yake ni kwamba wote wasioamini ukweli, bali wanafurahia dhambi, watahukumiwa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 na hivyo wahukumiwe wote ambao hawakuiamini ile kweli, bali wamefurahia uovu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 na wahukumiwe wote ambao hawakuiamini ile kweli, bali wamefurahia uovu. Tazama sura |