Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Wathesalonike 2:11 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

11 Kwa biyo Mungu atawaletea nguvu ya upotevu, wauamini uwongo,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Ndiyo maana Mungu amewaweka chini ya nguvu ya upotovu, wauamini uongo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Ndiyo maana Mungu amewaweka chini ya nguvu ya upotovu, wauamini uongo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Ndiyo maana Mungu amewaweka chini ya nguvu ya upotovu, wauamini uongo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Kwa sababu hii, Mungu anawatumia nguvu ya udanganyifu, ili waamini uongo,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Kwa sababu hii, Mwenyezi Mungu ameruhusu watawaliwe na nguvu ya udanganyifu, ili waendelee kuamini uongo,

Tazama sura Nakili




2 Wathesalonike 2:11
21 Marejeleo ya Msalaba  

Na manabii wengi wa uwongo wataondoka, watadanganya wengi.


Kwa maana wengi watakuja kwa jina langu, wakinena, Mimi ni Kristo; na watadanganya wengi.


Na kama walivyokataa kuwa na Mungu katika fahamu zao, Mungu aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa, wuyafanye yasiyowapasa;


Kwa maana maonyo yetu siyo ya ukosefu wala ya uchafu, wala ya hila,


ROHO yanena waziwazi ya kwamba nyakati za mwisho watu watajitenga na imani, wakisikiliza roho zidanganyazo, na mafundisho ya mashetani,


nao watajiepusha na kusikia yaliyo kweli watageukia hadithi za uwongo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo