2 Wathesalonike 1:9 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19219 watakaoadhibiwa kwa uharibifu wa milele, kutengwa na uso wa Bwana na na utukufu wa nguvu zake, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Adhabu yao itakuwa kuangamizwa milele na kutengwa mbali na utukufu wake mkuu, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Adhabu yao itakuwa kuangamizwa milele na kutengwa mbali na utukufu wake mkuu, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Adhabu yao itakuwa kuangamizwa milele na kutengwa mbali na utukufu wake mkuu, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Wataadhibiwa kwa uangamivu wa milele na kutengwa na uso wa Mwenyezi Mungu na utukufu wa uweza wake, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Wataadhibiwa kwa uangamivu wa milele na kutengwa na uso wa Bwana Isa na utukufu wa uweza wake, Tazama sura |