2 Wathesalonike 1:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19218 katika mwako wa moto, akiwalipa kisasi wao wasiomjua Mungu, nao wasioitii Injili ya Bwana wetu Yesu Kristo; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 na miali ya moto, kuwaadhibu wale wanaomkataa Mungu na wale wasiotii Habari Njema ya Bwana wetu Yesu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 na miali ya moto, kuwaadhibu wale wanaomkataa Mungu na wale wasiotii Habari Njema ya Bwana wetu Yesu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 na miali ya moto, kuwaadhibu wale wanaomkataa Mungu na wale wasiotii Habari Njema ya Bwana wetu Yesu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Atawaadhibu wale wasiomjua Mungu na ambao hawakuitii Injili ya Bwana wetu Isa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Atawaadhibu wale wasiomjua Mwenyezi Mungu na ambao hawakuitii Injili ya Bwana wetu Isa. Tazama sura |