Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Wathesalonike 1:6 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

6 kwa kuwa ni haki mbele za Mungu kuwalipa mateso wale wawatesao ninyi,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Mungu atafanya jambo la haki: Atawalipa mateso wale wanaowatesa nyinyi

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Mungu atafanya jambo la haki: Atawalipa mateso wale wanaowatesa nyinyi

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Mungu atafanya jambo la haki: atawalipa mateso wale wanaowatesa nyinyi

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Mungu ni mwenye haki: yeye atawalipa mateso wale wanaowatesa ninyi,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Mungu ni mwenye haki: yeye atawalipa mateso wale wawatesao ninyi

Tazama sura Nakili




2 Wathesalonike 1:6
18 Marejeleo ya Msalaba  

Maana adhulumuye atapata mapato ya udhalimu wake, wala hakuna upendeleo.


maana Mungu si dhalimu hatta asahau kazi zenu, na pendo lile mlilolidhihirisha kwa jina lake, kwa kuwa mmewakhudumia watakatifu, na hatta hivi sasa mngali mkiwakhudumia.


Na mataifa walighadhabika, ghadhabu yako ikaja, na wakati wa kuhukumiwa waliokufa, na wa kuwapa thawabu yao watumwa wako manabii na watakatifu, nao walichao jina lako, wadogo na wakubwa, na wa kuwaharibu hawo waiharibuo inchi.


Ni nani asiyekucha, Bwana, na kulitukuza jina lako? kwa kuwa wewe peke yako Mtakatifu: kwa maana mataifa yote watakuja na kusujudu mbele yako; kwa kuwa matendo yako ya haki yamekwisha kufunuliwa.


Furahini juu yake, enyi mbingu, na ninyi watakatifu na mitume na manabii, kwa maana Mungu amehukumu hukumu yenu juu yake.


Na ndani yake ilionekana damu ya manabii na ya watakatifu na ya wale wote waliouawa juu ya inchi.


kwa kuwa hukumu zake ni za kweli na za haki: maana amemhukumu yule kahabu mkuu aliyeiharibu inchi kwa uasharati wake, na kumpatiliza kwa ajili va damu ya watumwa wake mkononi mwake.


Wakalia kwa sauti kuu, wakiseina, Ee Mola, Mtakatifu, Mwenye kweli, hatta lini huhukumu na kuipatia haki damu yetu kwao wakaao juu ya inchi?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo