2 Wathesalonike 1:1 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19211 PAOLO, Silwano, na Timotheo kwa kanisa la Wathessaloniki lililo katika Mungu Baba yetu, na Bwana Yesu Kristo: Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Mimi Paulo, Silwano na Timotheo, kwa jumuiya ya kanisa la Thesalonike, ambayo ni watu wake Mungu Baba yetu na wa Bwana Yesu Kristo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Mimi Paulo, Silwano na Timotheo, kwa jumuiya ya kanisa la Thesalonike, ambayo ni watu wake Mungu Baba yetu na wa Bwana Yesu Kristo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Mimi Paulo, Silwano na Timotheo, kwa jumuiya ya kanisa la Thesalonike, ambayo ni watu wake Mungu Baba yetu na wa Bwana Yesu Kristo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Paulo, Silvano na Timotheo. Kwa kundi la waumini la Wathesalonike mlio katika Mungu, Baba yetu, na Bwana Isa Al-Masihi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Paulo, Silvano na Timotheo: Kwa kundi la waumini la Wathesalonike mlio katika Mungu Baba yetu na Bwana Isa Al-Masihi: Tazama sura |