Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Wakorintho 8:20 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

20 Tukijiepusha na neno hili, mtu asije akatulaumu katika khabari ya karama hii inayokhudumiwa nasi;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Tunataka kuepa lawama zinazoweza kutokea kuhusu usimamizi wetu juu ya zawadi hii karimu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Tunataka kuepa lawama zinazoweza kutokea kuhusu usimamizi wetu juu ya zawadi hii karimu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Tunataka kuepa lawama zinazoweza kutokea kuhusu usimamizi wetu juu ya zawadi hii karimu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Tunataka kuepuka lawama yoyote kuhusu jinsi tunavyosimamia matoleo haya ya ukarimu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Tunataka kuepuka lawama yoyote kuhusu jinsi tunavyosimamia matoleo haya ya ukarimu.

Tazama sura Nakili




2 Wakorintho 8:20
9 Marejeleo ya Msalaba  

Angalieni, mimi nawatumeni kama kondoo kati ya mbwa wa mwitu: bassi mwe na busara kama nyoka, na msio na dhara kama hua.


Bassi, usitajwe vibaya kwa huo wema wenu.


nami nitakapofika nitawatuma wale mtakaowachagua kwa nyaraka, wachukue ihsani yenu hatta Yerusalemi.


Lakini nifanyalo nitalifunya, illi niwapinge watafutao nafasi wasipate nafasi; illi katika neno hilo wajisifulo waonekane kuwa kama sisi.


Wala si hivyo tu, bali alichaguliwa na makanisa asafiri pamoja nias katika jambo la neema hii inayokhudumiwa nasi, illi Bwana atukuzwe, ikadhihirike ya kuwa mioyo yenu ilikuwa tayari.


tukitangulia kufikiri yaliyo mema, si mbele ya Bwana tu, bali na mbele ya wana Adamu.


Angalieni sana, bassi, jinsi mnavyoenenda, si kama watu wasio hekima, bali kama wenye hekima;


jitengeni na ubaya wa killa namna.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo