Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Wakorintho 8:16 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

16 Lakini Mungu ashukuriwe atiae bidii ile ile kwa ajili yenu katika moyo wa Tito.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Namshukuru Mungu aliyeweka ndani ya moyo wa Tito hamu hiyo niliyo nayo mimi ya kuwasaidia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Namshukuru Mungu aliyeweka ndani ya moyo wa Tito hamu hiyo niliyo nayo mimi ya kuwasaidia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Namshukuru Mungu aliyeweka ndani ya moyo wa Tito hamu hiyo niliyo nayo mimi ya kuwasaidia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Ninamshukuru Mungu ambaye amemtia Tito moyo wa kuwajali ninyi kama mimi ninavyowajali.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Ninamshukuru Mwenyezi Mungu ambaye amemtia Tito moyo wa kuwajali ninyi kama mimi ninavyowajali.

Tazama sura Nakili




2 Wakorintho 8:16
13 Marejeleo ya Msalaba  

Bassi, ijapokuwa naliwaandikia, sikuandika kwa ajili yake yeye aliyedhulumu, wala si kwa ajili yake aliyedhulumiwa, bali ijtihadi yenu kwa ajili yetu ipate kudhihirishwa kwenu mbele za Mungu.


Wala si kwa kuwapo kwake tu, bali kwa zile faraja nazo alizofarijiwa kwenu, akituarifu khabari ya shauku yenu, na maombolezo yenu, na bidii yenu kwa ajili yangu, hatta nikazidi kufurahi.


Bassi mtu akitaka khabari za Tito, yeye ni mshirika wangu, na mtenda kazi pamoja nami; tena akitaka khabari za ndugu zetu, wao ni mitume ya makanisa, na utukufu wa Kristo.


hatta tukamwonya Tito kuwatimilizieni neema hii kama vile alivyoianza.


Maana sina mtu mwingine mwenye nia moja nami, atakaeangalia hali yenu kweli kweli.


Na killa mfanjalo, kwa neno au kwa tendo, fanyeni yote katika jina la Bwana Yesu, mkimshukuru Mungu Baba kwa yeye.


Maana Muugu ametia mioyoni mwao kufanya shauri lake, na kufanya shauri moja, na kumpa yule nyama ufalme hatta maneno ya Mungu yatimizwe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo