2 Wakorintho 6:18 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192118 Nami nitawakaribisheni, Nitakuwa Baba kwenu, Na ninyi mtakuwa kwangu wana na binti, anena Bwana Mwenyiezi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Mimi nitakuwa Baba yenu, nanyi mtakuwa wanangu, waume kwa wake, asema Bwana Mwenye Nguvu.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Mimi nitakuwa Baba yenu, nanyi mtakuwa wanangu, waume kwa wake, asema Bwana Mwenye Nguvu.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Mimi nitakuwa Baba yenu, nanyi mtakuwa wanangu, waume kwa wake, asema Bwana Mwenye Nguvu.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Na, “Mimi nitakuwa Baba kwenu, nanyi mtakuwa wanangu wa kiume na wa kike, asema Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 “Mimi nitakuwa Baba kwenu, nanyi mtakuwa wanangu na binti zangu, asema Bwana Mwenyezi.” Tazama sura |