2 Wakorintho 6:17 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192117 Kwa hiyo Tokeni kati yao, mkatengwe nao, asema Bwana, Wala msiguse kitu kilicho kichafu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Kwa hiyo Bwana asema pia: “Ondokeni kati yao, mkajitenge nao; msiguse kitu najisi, nami nitawapokea. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Kwa hiyo Bwana asema pia: “Ondokeni kati yao, mkajitenge nao; msiguse kitu najisi, nami nitawapokea. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Kwa hiyo Bwana asema pia: “Ondokeni kati yao, mkajitenge nao; msiguse kitu najisi, nami nitawapokea. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Kwa hiyo, “Tokeni miongoni mwao, mkatengwe nao, asema Mwenyezi Mungu. Msiguse kitu chochote kilicho najisi, nami nitawakaribisha.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 “Kwa hiyo tokeni miongoni mwao, mkatengwe nao, asema Bwana Mwenyezi. Msiguse kitu chochote kilicho najisi, nami nitawakaribisha.” Tazama sura |