2 Wakorintho 6:15 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192115 Tena pana ulinganifu gani kati ya Kristo na Belial? Au aammiye ana sehemu gani pamoja na asiyeamini? Tena pana mapatano gani ya hekalu ya Mungu na sanama? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Kristo anawezaje kupatana na Shetani? Mwaamini ana uhusiano gani na asiyeamini? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Kristo anawezaje kupatana na Shetani? Mwaamini ana uhusiano gani na asiyeamini? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Kristo anawezaje kupatana na Shetani? Mwaamini ana uhusiano gani na asiyeamini? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Kuna mapatano gani kati ya Al-Masihi na Beliari? Yeye aaminiye ana sehemu gani na yeye asiyeamini? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Kuna mapatano gani kati ya Al-Masihi na Beliari? Yeye aaminiye ana sehemu gani na yeye asiyeamini? Tazama sura |