Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Wakorintho 5:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

8 Lakini tuna moyo mkuu; na tunaona vema zaidi kutoka katika mwili na kukaa pamoja na Bwana.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Lakini tuko imara na tungependelea hata kuyahama makao haya, tukahamie kwa Bwana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Lakini tuko imara na tungependelea hata kuyahama makao haya, tukahamie kwa Bwana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Lakini tuko imara na tungependelea hata kuyahama makao haya, tukahamie kwa Bwana.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Naam, tuna ujasiri, na tunaona ingekuwa bora zaidi kuuacha mwili huu na kwenda kukaa na Bwana Isa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Naam, tunalo tumaini na ingekuwa bora zaidi kuuacha mwili huu na kwenda kukaa na Bwana Isa.

Tazama sura Nakili




2 Wakorintho 5:8
22 Marejeleo ya Msalaba  

Bwana wake akamwambia, Vema, mtumishi mwema, na amini: ulikuwa amini kwa machache, nitakuweka juu ya mengi: ingia katika furaha ya bwana wako.


Bwana wake akamwambia, Vema, mtumishi mwema na amini: ulikuwa amini kwa machache, nitakuweka juu ya mengi: ingia katika furaha ya bwana wako.


Sasa wamrukhusu, Bwana, mtumishi wako kwa amani, Kama ulivyosema:


Mtu akinitumikia, anifuate: nami nilipo, ndipo na mtumishi wangu atakapokuwapo; tena mtu akinitumikia, Baba atamheshimu.


Bassi nikishika njia kwenda kuwaandalia mahali, nitakuja tena, niwakaribisheni kwangu; illi nilipo mimi, nanyi mwepo.


Baba, hao nao ulionipa, nataka wawe pamoja nami nilipo, wapate kuutazama utukufu wangu ulionipa; kwa maana ulinipenda kabla ya kuwekwa misingi ya ulimwengu.


Paolo akajibu, Mnafanyaje, kulia na kunivnnja moyo? kwa maana mimi, licha ya kufungwa tu, ni tayari hatta kuuawa katika Yerusalemi kwa ajili ya jina lake Bwana Yesu.


Bassi siku zote tuna moyo mkuu; tena twajua ya kuwa, wakati tuwapo hapa katika mwili, tunakaa mbali ya Bwana.


Kwa hiyo, tena, ikiwa tupo hapa, au ikiwa hatupo hapa, twajitahidi kumpendeza yeye.


Wapenzi, sasa tu wana wti Mungu, wala haijadhihirika bado tutakidokuwa: lakini twajua ya kuwa akidhihiri, tutafanana nae; kwa maana tutamwona kama alivyo.


Wala hapatakuwa laana yo yote tena. Na kiti cha enzi cha Mungu na cha Mwana kondoo kitakuwa ndani yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo