2 Wakorintho 5:5 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19215 Bassi yeye aliyetufanya kwa ajili ya neno lili hili ni Mungu, aliyetupa arabuni ya Roho. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Mungu mwenyewe alitutayarishia mabadiliko hayo, naye ametupa Roho wake awe dhamana ya yote aliyotuwekea. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Mungu mwenyewe alitutayarishia mabadiliko hayo, naye ametupa Roho wake awe dhamana ya yote aliyotuwekea. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Mungu mwenyewe alitutayarishia mabadiliko hayo, naye ametupa Roho wake awe dhamana ya yote aliyotuwekea. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Basi Mungu ndiye alitufanya kwa ajili ya jambo lilo hilo, naye ametupatia Roho wa Mungu kuwa amana, akituhakikishia ahadi ya kile kijacho. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Basi Mungu ndiye alitufanya kwa ajili ya jambo lilo hilo naye ametupa Roho wa Mwenyezi Mungu kuwa amana, akituhakikishia ahadi ya kile kijacho. Tazama sura |