2 Wakorintho 5:18 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192118 Lakini vyote pia vyatokana na Mungu, aliyetupatanisha sisi na nafsi yake kwa Kristo, nae alitupa khuduma ya upatauisho; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Yote ni kazi ya Mungu mwenye kutupatanisha sisi naye kwa njia ya Kristo, na kutupa jukumu la kuwapatanisha watu naye. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Yote ni kazi ya Mungu mwenye kutupatanisha sisi naye kwa njia ya Kristo, na kutupa jukumu la kuwapatanisha watu naye. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Yote ni kazi ya Mungu mwenye kutupatanisha sisi naye kwa njia ya Kristo, na kutupa jukumu la kuwapatanisha watu naye. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Haya yote yanatokana na Mungu, ambaye ametupatanisha sisi na nafsi yake kupitia kwa Isa Al-Masihi, na kutupatia sisi huduma ya upatanisho: Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Haya yote yanatokana na Mwenyezi Mungu, ambaye ametupatanisha sisi na nafsi yake kwa njia ya Isa Al-Masihi na kutupata sisi huduma ya upatanisho: Tazama sura |