2 Wakorintho 4:14 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192114 tukijua kama yeye aliyemfufua Bwana Yesu atatufufua na sisi pamoja na Yesu, na kutuhudhurisha pamoja nanyi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Tunajua kwamba yule aliyemfufua Bwana Yesu atatufufua sisi pia pamoja na Yesu na kutuweka mbele yake pamoja nanyi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Tunajua kwamba yule aliyemfufua Bwana Yesu atatufufua sisi pia pamoja na Yesu na kutuweka mbele yake pamoja nanyi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Tunajua kwamba yule aliyemfufua Bwana Yesu atatufufua sisi pia pamoja na Yesu na kutuweka mbele yake pamoja nanyi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 kwa sababu tunajua kwamba yeye aliyemfufua Bwana Isa kutoka kwa wafu atatufufua sisi pia pamoja na Isa na kutuleta sisi pamoja nanyi mbele zake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 kwa sababu tunajua kwamba yeye aliyemfufua Bwana Isa kutoka kwa wafu, atatufufua sisi pia pamoja na Isa na kutuleta sisi pamoja nanyi mbele zake. Tazama sura |