2 Wakorintho 4:1 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19211 KWA sababu hiyo, kwa kuwa tuna khuduma hii, kwa jinsi tulivyorehemiwa, hatulegei; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Basi, Mungu, kwa huruma yake, ametukabidhi kazi hii na hivyo hatufi moyo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Basi, Mungu, kwa huruma yake, ametukabidhi kazi hii na hivyo hatufi moyo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Basi, Mungu, kwa huruma yake, ametukabidhi kazi hii na hivyo hatufi moyo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Kwa hiyo, kwa kuwa tuna huduma hii kwa rehema za Mungu, hatukati tamaa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Kwa hiyo, kwa kuwa tuna huduma hii kwa rehema za Mungu, hatukati tamaa. Tazama sura |