Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Wakorintho 3:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

8 je! khuduma ya roho haitazidi kuwa katika utukufu?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 basi, huduma ya Roho ina utukufu mkuu zaidi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 basi, huduma ya Roho ina utukufu mkuu zaidi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 basi, huduma ya Roho ina utukufu mkuu zaidi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 je, huduma ya Roho wa Mungu haitakuwa na utukufu zaidi?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 je, huduma ya Roho haitakuwa na utukufu zaidi?

Tazama sura Nakili




2 Wakorintho 3:8
24 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa kuwa torati ilitolewa kwa mkono wa Musa, neema na kweli zilikuwa kwa mkono wa Yesu Kristo.


Neno hili alilisema katika khabari ya Roho, ambae wale wamwaminio watampokea khalafu: kwa maana Roho Mtakatifu alikuwa bado kuwapo, kwa sababu Yesu alikuwa bado kutukuzwa.


Hamjui ya kuwa ninyi hekalu ya Mungu, na ya kuwa Roho Mtakatifu anakaa ndani yenu?


Maana yeye ajae akikhubiri Yesu mwingine ambae sisi hatukumkhubiri, au mkipokea Roho nyingine msiyoipokea, au injili nyingine msiyoikubali, mnatenda vema kuvumilia nae.


Bassi Bwana ndiye Roho huyo; walakini alipo Roho ya Bwana, hapo ndipo panapo uhuru.


aliyetutosheleza kuwa wakhudumu wa agano jipya; si wa andiko, bali wa roho; kwa maana andiko huua, bali roho huhuisha.


Bassi, ikiwa khuduma ya mauti katika maandiko, iliyochorwa katika mawe, ilikuja katika utukufu, hatta wana wa Israeli hawakuweza kuukazia macho uso wa Musa, kwa sababu ya utukufu wa uso wake; nao utukufu uliokuwa ukibatilika;


Kwa maana ikiwa khuduma ya hukumu ina utukufu, khuduma ya haki ina utukufu unaozidi sana.


illi baraka ya Ibrahimu iwafikilie mataifa katika Yesu Kristo, tupate kupewa ahadi ya Roho kwa njia ya imani.


Maana sisi kwa Roho tunalitazamia tumaini la wema kwa njia ya imani.


Maana kwa yeye sisi sote tumepata njia ya kumkaribia Mungu Baba katika Roho mmoja.


Lakini imetupasa sisi kumshukuru Mungu siku zote kwa ajili yenu, ndugu, mliopendwa na Bwana, kwa kuwa Mungu amewachagua tangu mwanzo mpate wokofu, katika kutakaswa kwa Roho na kuiamini kweli,


kama vile Mungu alivyotangulia kuwajua tangu milele katika utakaso wa Roho, hatta wakapata kutii na kunyunyizwa damu ya Yesu Kristo; Neema na amani ziongezwe kwenu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo