Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Wakorintho 3:12 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

12 Bassi, kwa kuwa tuna taraja la namna hii, twatumia ujasiri mwingi;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Kwa vile hili ndilo tumaini letu, sisi twasema kwa uhodari mkuu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Kwa vile hili ndilo tumaini letu, sisi twasema kwa uhodari mkuu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Kwa vile hili ndilo tumaini letu, sisi twasema kwa uhodari mkuu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Kwa hiyo, kwa kuwa tunalo tumaini hili, tuna ujasiri sana.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Kwa hiyo, kwa kuwa tunalo tumaini hili, tuna ujasiri sana.

Tazama sura Nakili




2 Wakorintho 3:12
21 Marejeleo ya Msalaba  

Bassi Wayahudi wakamzunguka, wakamwambia, Hatta lini utatuangaisha roho zetu? Kama wewe u Kristo, tuambie wazi wazi.


Haya nimesema nanyi kwa methali: saa inakuja, sitasema nanyi tena kwa methali, lakini nitawapa kwa wazi khabari ya Baba.


Wanafunzi wake wakasema, Tazama, sasa wasema waziwazi, wala huneni methali yo yote.


Bassi wakakaa huko wakati mwingi, wakinena kwa uthabiti katika Bwana, aliyelishuhudia neno la neema yake, akiwajalia ishara na maajabu yatendeke kwa mikono yao.


Bassi walipoona ujasiri wa Petro na Yohana, na kujua ya kuwa ni watu wasio elimu, wasio maarifa, wakastaajabu, wakawatambua ya kwamba walikuwa pamoja na Yesu.


Barnaba akamtwaa, akampeleka kwa mitume, akawaeleza jinsi alivyomwona Bwana njiani, na ya kwamba alisema nae, na jinsi alivyokhubiri pasipo khofu katika Dameski kwa jina lake Yesu.


Akaneua kwa jina lake Yesu pasipo khofu, akinena na kushindana na Wahelenisti. Nao wakajaribu kumwua.


lakini napenda kunena maneno matano katika kanisa kwa akili zangu, nipate kuwafundisha wengine, zaidi ya kunena maneno elfu kumi kwa lugha.


NAMI Paolo, nawasihi kwa upole na utaratibu wa Kristo, mimi niliye mnyenyekevu niwapo pamoja nanyi, bali nisipokuwapo mwenye ujasiri kwenu;


Kwa maana, ikiwa ile inayobatilika ilikuwa na utukufu ukomao, zaidi sana ile ikaayo ina utukufu udumuo.


Lakini kwa kuwa tuna roho ile ile ya imani, kama ilivyoandikwa. Naliamini, na kwa sababu hiyo nalinena; sisi nasi twaamini, na kwa sababu hiyo twanena;


Nina ujasiri mwingi kwemi; kujisifu kwangu kwa ajili yenu ni kwingi. Nimejawa na faraja, katika mateso yetu yote nimejaa furaha ya kupita kiasi.


Na walio wengi wa ndugu walio katika Bwana, wakipata kuthubutika kwa ajili ya kufungwa kwangu, wamezidi sana kuthubutu kulinena neno la Bwana pasipo khofu.


kama nilivyotazamia sana, na kutumaini, kwamba sitaaibika kabisa, bali kwa nthabiti wote, kama siku zote, na sasa tena Kristo atatukuzwa katika mwili wangu, ikiwa kwa maisha yangu, au kwa mauti yangu.


illi niidhihirishe, kama inipasavyo kunena.


bali tukiisha kuteswa kwanza na kutendwa jeuri, kama mjuavyo, katika Filippi, twalithubutu katika Mungu kuinena Injili ya Mungu kwenu, kwa kuishindania sana.


Kwa maana watendao kazi ya ushemasi vema hujipatia daraja nzuri, na ujasiri mwingi katika imani iliyo katika Kristo Yesu.


Kwa hiyo, nijapokuwa nina ujasiri katika Kristo kukuagiza likupasalo;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo