2 Wakorintho 2:9 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19219 Maana naliandika kwa sababu hii pia, illi nipate bayana kwenu kwamba m wenye kutii katika mambo yote. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Madhumuni yangu ya kuandika ile barua yalikuwa kutaka kujua kama mko tayari kutii katika kila jambo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Madhumuni yangu ya kuandika ile barua yalikuwa kutaka kujua kama mko tayari kutii katika kila jambo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Madhumuni yangu ya kuandika ile barua yalikuwa kutaka kujua kama mko tayari kutii katika kila jambo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Sababu ya kuwaandikia ni kuona kama mngeweza kushinda hilo jaribio na kutii katika kila jambo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Sababu ya kuwaandikia ni kuona kama mngeweza kushinda hilo jaribio na kutii katika kila jambo. Tazama sura |