2 Wakorintho 2:2 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19212 Maana mimi nikiwatia huzuni, hassi ni nani anifurahishae illa yeye ahuzunishwae nami? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Maana nikiwahuzunisha nyinyi, basi, ni nani atakayenifariji? Ni walewale niliowahuzunisha! Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Maana nikiwahuzunisha nyinyi, basi, ni nani atakayenifariji? Ni walewale niliowahuzunisha! Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Maana nikiwahuzunisha nyinyi, basi, ni nani atakayenifariji? Ni walewale niliowahuzunisha! Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Kwa kuwa nikiwahuzunisha ninyi, ni nani aliyebaki wa kunifurahisha isipokuwa ninyi ambao nimewahuzunisha? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Kwa kuwa kama nikiwahuzunisha ninyi, ni nani aliyebaki wa kunifurahisha isipokuwa ninyi ambao nimewahuzunisha? Tazama sura |