Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Wakorintho 2:11 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

11 Shetani asije akapata kutushinda; kwa maana sisi si wajinga, tunajua fikara zake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 ili tusimpe nafasi Shetani atudanganye; maana twaijua mipango yake ilivyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 ili tusimpe nafasi Shetani atudanganye; maana twaijua mipango yake ilivyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 ili tusimpe nafasi Shetani atudanganye; maana twaijua mipango yake ilivyo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 ili Shetani asitushinde. Kwa maana hatujakosa kuzijua hila zake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 ili Shetani asitushinde. Kwa maana hatuachi kuzijua hila zake.

Tazama sura Nakili




2 Wakorintho 2:11
20 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Yesu akamwambia, Nenda zako, Shetani: kwa maana imeandikwa, Utamsujudia Bwana Mungu wako, nae peke yake utamwabudu.


Bwana akasema, Simon, Simon, tazama, Shetani amewataka ninyi awapepete kama nganu:


Hatta wakati wa chakula cha jioni, Shetani alipokwisha kumtia Yuda, mwana wa Simon Iskariote, moyo wa kumsaliti,


atwae sehemu yake ya khuduma hii na utume huu, alioukosa Yuda aende zake mahali pake.


Msinyimane isipokuwa mmepatana kwa muda, illi mpate faragha kwa kufunga na kuomba, mkajiane tena, Shetani asije akawajarihu kwa kutokuwa na kiasi kwenu.


Wala si ajabu. Maana Shetani mwenyewe hujigeuza awe mfano wa malaika wa nuru.


Lakini naogopa; kama yule nyoka alivyomdanganya Hawa kwa hila yake, asije akawaharibu fikara zenu, mkauacha unyofu wenu kwa Kristo.


ambao mungu wa dunia hii amepofusha akili za wasioamini, isiwazukie nuru ya injili ya utukufu wake Kristo aliye sura yake Mungu.


akiwaonya kwai npole washindanao nae, illi, kama ikiwezekana, Mungu awape kutubu na ujuzi wa kweli,


Erevukeni, kesheni; kwa kuwa mshitaki wenu Shetani, kama simba angurumae, huzungukazunguka, akitafuta mtu amle;


Watu wote wakaao juu ya inchi wakamsujudu, ambao majina yao hayakuandikwa katika kitabu cha uzima cha Mwana kondoo aliyechinjwa kabla ya kuwekwa misingi ya dunia.


Lakini nawaambia ninyi, nao wengine walio katika Thuatera, wo wote wasio na mafundisho haya, wasiozijua fumbo za Shetani kama vile wasemavyo, Sitaweka juu yen umzigo mwungine.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo