2 Wakorintho 2:11 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192111 Shetani asije akapata kutushinda; kwa maana sisi si wajinga, tunajua fikara zake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 ili tusimpe nafasi Shetani atudanganye; maana twaijua mipango yake ilivyo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 ili tusimpe nafasi Shetani atudanganye; maana twaijua mipango yake ilivyo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 ili tusimpe nafasi Shetani atudanganye; maana twaijua mipango yake ilivyo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 ili Shetani asitushinde. Kwa maana hatujakosa kuzijua hila zake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 ili Shetani asitushinde. Kwa maana hatuachi kuzijua hila zake. Tazama sura |