Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Wakorintho 13:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

8 Maana hatuwezi kutenda neno kinyume cha kweli, bali kwa ajili ya kweli.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Maana hatuwezi kuupinga ukweli; uwezo tulio nao ni wa kuuendeleza ukweli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Maana hatuwezi kuupinga ukweli; uwezo tulio nao ni wa kuuendeleza ukweli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Maana hatuwezi kuupinga ukweli; uwezo tulio nao ni wa kuuendeleza ukweli.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Kwa maana hatuwezi kufanya lolote kinyume na kweli, bali kuithibitisha kweli tu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Kwa maana hatuwezi kufanya lolote kinyume na kweli, bali kuithibitisha kweli tu.

Tazama sura Nakili




2 Wakorintho 13:8
20 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akasema, Msimkataze, kwa kuwa hakuna mtu atakaefanya mwujiza kwa jina langu akaweza wakati huo huo kuninena mabaya;


Maana, nijapojisifu zaidi kidogo kwa ajili ya mamlaka yetu (tuliyopewa na Bwana, tupate kuwajenga ninyi wala si kuwaangusha), sitatahayarika;


Kwa biyo, naandika liayo nisipokuwapo, illi, nikiwapo, nisitumie ukali kwa kadiri ya uwezo ule niliopewa na Bwana illi kujenga wala si kubomoa.


Na namwomba Mungu, msifanye lo lote lililo baya; si kwamba sisi tuonekane tumekubaliwa, bali ninyi mfanye lililo jema, tujapokuwa sisi kama waliokataliwa.


Maana twafurahi, sisi tulipo dhaifu, na ninyi hodari. Tena twaomba hili nalo, mtimilike.


Katika hao wamo Humenayo na Iskander, ambao nimempa Shetani wafundishwe wasimtukane Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo