Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Wakorintho 13:6 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

6 Lakini natumaini kama mtajua ya kuwa sisi hatukukataliwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Lakini natumaini kwamba nyinyi mnajua kuwa sisi hatukushindwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Lakini natumaini kwamba nyinyi mnajua kuwa sisi hatukushindwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Lakini natumaini kwamba nyinyi mnajua kuwa sisi hatukushindwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Natumaini mtaona kuwa sisi hatukushindwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Natumaini mtaona kuwa sisi hatukushindwa.

Tazama sura Nakili




2 Wakorintho 13:6
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na kama walivyokataa kuwa na Mungu katika fahamu zao, Mungu aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa, wuyafanye yasiyowapasa;


Maana naogopa, nisije nikawakuta si kama vile nitakavyo kuwakuta, nikaonekane kwenu si kama vile mtakavyo: nisije nikakuta labuda fitina, na wivu, na hasira, na ugomvi, na masingizio, na manongʼonezo, na majivuno, na ghasia;


Kwa biyo, naandika liayo nisipokuwapo, illi, nikiwapo, nisitumie ukali kwa kadiri ya uwezo ule niliopewa na Bwana illi kujenga wala si kubomoa.


Jijaribuni nafsi zenu kwamba m katika imani; jithubutisheni nafsi zenu. Au bamjijui nafsi zenu, kwamba Yesu Kristo yu ndani yenu isipokuwa mmekataliwa?


Na namwomba Mungu, msifanye lo lote lililo baya; si kwamba sisi tuonekane tumekubaliwa, bali ninyi mfanye lililo jema, tujapokuwa sisi kama waliokataliwa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo