2 Wakorintho 12:4 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19214 ya kuwa alichukuliwa mpaka Peponi, akasikia maneno yasiyotamkika, ambayo haijuzu mwana Adamu ayanene. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Huko akasikia mambo ya siri ambayo binadamu hastahili kuyatamka. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Huko akasikia mambo ya siri ambayo binadamu hastahili kuyatamka. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Huko akasikia mambo ya siri ambayo binadamu hastahili kuyatamka. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 alinyakuliwa hadi Paradiso. Huko alisikia mambo yasiyoelezeka, mambo ambayo binadamu hana ruhusa ya kuyasimulia. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 alinyakuliwa hadi Paradiso. Huko alisikia mambo yasiyoelezeka, mambo ambayo binadamu hana ruhusa ya kuyasimulia. Tazama sura |