Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Wakorintho 12:17 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

17 Je! mtu aliye yote niliyemtuma kwenu, kwa mtu huyo naliwatoza kitu?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Je, mimi niliwanyonyeni kwa njia ya mjumbe yeyote niliyemtuma kwenu?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Je, mimi niliwanyonyeni kwa njia ya mjumbe yeyote niliyemtuma kwenu?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Je, mimi niliwanyonyeni kwa njia ya mjumbe yeyote niliyemtuma kwenu?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Je, nilijipatia faida kwa kumtumia mtu yeyote niliyemtuma kwenu?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Je, nilijipatia faida kwa kumtumia mtu yeyote niliyemtuma kwenu?

Tazama sura Nakili




2 Wakorintho 12:17
7 Marejeleo ya Msalaba  

na kuteswa mengi kwa mikono ya tabibu wengi, akagharimu vitu vyote alivyo navyo, kusimfae hatta kidogo, bali hali yake ilizidi kuwa mbaya,


Lakini, Timotheo akija, angalieni akae kwenu pasipo khofu; maana anaifanya kazi ya Bwana kama mimi nami:


Kwa hiyo nalimtuma Timotheo kwenu, aliye mwana wangu mpendwa, mwaminifu katika Bwana, atakaewakumbusha njia zangu zilizo katika Kristo, kama nifundishavyo killa pahali katika killa kanisa.


Nalimwonya Tito, nikamtuma yule ndugu pamoja nae. Je! Tito aliwatoza kitu? Hatukuenenda kwa Roho yeye yule na katika nyayo zile zile?


Bassi naliona ya kuwa ni lazima niwaonye ndugu hawa watangulie kufika kwenu, na kutengeneza mapema karama yenu mliyoahidi tangu zamani, illi iwe tayari, na hivi iwe kama kipawa, wala si kama kitu kitolewacho kwa choyo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo