2 Wakorintho 11:31 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192131 Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, aliye mtukufu hatta milele, ajua va kuwa sisemi nwongo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema31 Mungu na Baba wa Bwana Yesu – jina lake litukuzwe milele – yeye anajua kwamba sisemi uongo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND31 Mungu na Baba wa Bwana Yesu – jina lake litukuzwe milele – yeye anajua kwamba sisemi uongo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza31 Mungu na Baba wa Bwana Yesu — jina lake litukuzwe milele — yeye anajua kwamba sisemi uongo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu31 Mungu na Baba wa Bwana wetu Isa, yeye ambaye anahimidiwa milele, anajua ya kuwa mimi sisemi uongo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu31 Mungu na Baba wa Bwana Isa, yeye ambaye anahimidiwa milele, anajua ya kuwa mimi sisemi uongo. Tazama sura |