Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Wakorintho 11:30 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

30 Ikinibidi kujisifu, nitajisifia mambo ya udhaifu wangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 Ikinilazimu kujivuna, basi, nitajivunia udhaifu wangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 Ikinilazimu kujivuna, basi, nitajivunia udhaifu wangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 Ikinilazimu kujivuna, basi, nitajivunia udhaifu wangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 Kama ni lazima nijisifu, basi nitajisifia yale mambo yanayoonesha udhaifu wangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 Kama ni lazima nijisifu, basi nitajisifia yale mambo yanayoonyesha udhaifu wangu.

Tazama sura Nakili




2 Wakorintho 11:30
9 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akazunguka katika Galilaya yote, akifundisha katika sunagogi zao, na kuikhubiri injili ya ufalme, na kuponya ugonjwa na udhaifu wa killi namna katika watu.


Nami nalikuwako kwenu katika hali ya udhaifu na khofu na matetemeko mengi.


SINA buddi kujisifu, ijapokuwa haipendezi; lakini nitafikilia njozi na mafunuo ya Bwana.


Sasa nayafurahia mateso niliyo nayo kwa ajili yenu; tena natimiliza yale yaliyopungua ya mateso ya Kristo katika mwili wangu, kwa ajili ya mwili wake, yaani, kanisa lake,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo