2 Wakorintho 11:29 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192129 Nani aliye dhaifu, nisiwe dhaifu na mimi? Nani aliyechukizwa na mimi nisiwake? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema29 Kama mtu yeyote ni dhaifu, nami pia ni dhaifu; mtu yeyote akikwazwa, nami pia huwa na wasiwasi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND29 Kama mtu yeyote ni dhaifu, nami pia ni dhaifu; mtu yeyote akikwazwa, nami pia huwa na wasiwasi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza29 Kama mtu yeyote ni dhaifu, nami pia ni dhaifu; mtu yeyote akikwazwa, nami pia huwa na wasiwasi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu29 Je, ni nani aliye mdhaifu, nami nisijisikie mdhaifu? Je, nani aliyekwazwa, nami nisiudhike? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu29 Je, ni nani aliye mdhaifu, nami nisijisikie mdhaifu? Je, nani aliyekwazwa, nami nisiudhike? Tazama sura |