2 Wakorintho 11:17 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192117 Nisemalo silisemi agizo la Bwana, bali kama kwa upumbavu, katika ujasiri huu wa kujisifu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Ninachosema sasa si kile alichoniagiza Bwana; kuhusu jambo hili la kujivuna, nasema tu kama mtu mpumbavu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Ninachosema sasa si kile alichoniagiza Bwana; kuhusu jambo hili la kujivuna, nasema tu kama mtu mpumbavu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Ninachosema sasa si kile alichoniagiza Bwana; kuhusu jambo hili la kujivuna, nasema tu kama mtu mpumbavu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Ninayosema kuhusiana na huku kujisifu kwa kujiamini, sisemi vile Bwana Isa angesema, bali kama mjinga. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Ninayosema kuhusiana na huku kujisifu kwa kujiamini, sisemi kama vile ambavyo Bwana Isa angesema, bali kama mjinga. Tazama sura |