2 Wakorintho 11:13 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192113 Maana hawo ni mitume wa uwongo, watendao kazi kwa hila, wanaojigeuza wawe mfano wa mitume ya Kristo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Maana, hao ni mitume wa uongo, wafanyakazi wadanganyifu wanaojisingizia kuwa mitume wa Kristo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Maana, hao ni mitume wa uongo, wafanyakazi wadanganyifu wanaojisingizia kuwa mitume wa Kristo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Maana, hao ni mitume wa uongo, wafanyakazi wadanganyifu wanaojisingizia kuwa mitume wa Kristo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Watu kama hao ni mitume wa uongo, ni wafanyakazi wadanganyifu, wanaojigeuza waonekane kama mitume wa Al-Masihi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Watu kama hao ni mitume wa uongo, ni wafanyakazi wadanganyifu, wanaojigeuza waonekane kama mitume wa Al-Masihi. Tazama sura |