2 Wakorintho 11:11 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192111 Kwa nini? kwa sababu siwapendi ninyi? Mungu anajua. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Kwa nini nasema hivyo? Kwa sababu eti siwapendi nyinyi? Mungu anajua kwamba nawapenda! Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Kwa nini nasema hivyo? Kwa sababu eti siwapendi nyinyi? Mungu anajua kwamba nawapenda! Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Kwa nini nasema hivyo? Kwa sababu eti siwapendi nyinyi? Mungu anajua kwamba nawapenda! Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Kwa nini? Je, ni kwa sababu siwapendi? Mungu anajua ya kuwa nawapenda! Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Kwa nini? Je, ni kwa sababu siwapendi? Mungu anajua ya kuwa nawapenda! Tazama sura |