Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Wakorintho 10:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

8 Maana, nijapojisifu zaidi kidogo kwa ajili ya mamlaka yetu (tuliyopewa na Bwana, tupate kuwajenga ninyi wala si kuwaangusha), sitatahayarika;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Hata kama nimezidi katika kujivuna kwangu juu ya ule uwezo aliotupa – uwezo wa kuwajenga na sio wa kubomoa – hata hivyo sijuti hata kidogo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Hata kama nimezidi katika kujivuna kwangu juu ya ule uwezo aliotupa – uwezo wa kuwajenga na sio wa kubomoa – hata hivyo sijuti hata kidogo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Hata kama nimezidi katika kujivuna kwangu juu ya ule uwezo aliotupa — uwezo wa kuwajenga na sio wa kubomoa — hata hivyo sijuti hata kidogo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Basi hata nikijisifu zaidi kidogo kuhusu mamlaka tuliyo nayo, ambayo Bwana Isa alitupatia ili kuwajenga wala si kuwabomoa, mimi sitaionea haya.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Basi hata kama nikijisifu zaidi kidogo kuhusu mamlaka tuliyo nayo, ambayo Bwana Isa alitupa ili kuwajenga wala si kuwabomoa, mimi sitaionea haya.

Tazama sura Nakili




2 Wakorintho 10:8
12 Marejeleo ya Msalaba  

Si kwamba tunatawala imani yenu; hali tu wasaidizi wa furaha yenu; maana mnasimama kwa imani.


maana silaha za vita yetu si za mwili, bali zina uwezo katika Mungu kuangusha ngome;


nisije nikaonekana kana kwamba nataka kuwaogofya kwa nyaraka zangu.


Mwadhani ya kuwa tunajindhuru kwenu tena? Mbele za Mungu twanena katika Kristo. Na haya yote, wapenzi, kwa ajili ya kuwajenga.


Maana kama ningetaka kujisifu singekuwa mpumbavu, kwa sababu nitasema kweli. Lakini nitajizuia, mtu asinihesabie zaidi ya haya ayaonayo kwangu au kuyasikiakwa kinywa changu.


Kwa biyo, naandika liayo nisipokuwapo, illi, nikiwapo, nisitumie ukali kwa kadiri ya uwezo ule niliopewa na Bwana illi kujenga wala si kubomoa.


Maana hatuwezi kutenda neno kinyume cha kweli, bali kwa ajili ya kweli.


Kwa maana, ikiwa nimejisifu kwake kwa ajili yenu, sikutahayarishwa; hali, kama tulivyowaambieni mambo yote kwa kweli, vivyo hivyo na kujisifu kwetu kwa Tito kulikuwa kweli.


Nina ujasiri mwingi kwemi; kujisifu kwangu kwa ajili yenu ni kwingi. Nimejawa na faraja, katika mateso yetu yote nimejaa furaha ya kupita kiasi.


PAOLO, mtume (si mtume wa wana Adamu, wala hakutumwa na mwana Adamu, bali na Yesu Kristo, na Mungu Baba aliyemfufua),


Kwa sababu hiyo nimepata mateso haya, wala sitahayariki: maana namjua yeye niliyemwamini, na kusadiki kwamba aweza kukilinda kile nilichakiweka amana kwake hatta siku ile.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo