Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Wakorintho 10:6 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

6 tukiwa tayari kupatiliza maasi yote, kutii kwenu kutakapotimia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Mkisha kuwa wakamilifu katika kutii, sisi tuko tayari kuadhibu kila namna ya kutotii.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Mkisha kuwa wakamilifu katika kutii, sisi tuko tayari kuadhibu kila namna ya kutotii.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Mkisha kuwa wakamilifu katika kutii, sisi tuko tayari kuadhibu kila namna ya kutotii.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Tena tunakuwa tayari kuadhibu kila tendo la kutotii, hapo kutii kwenu kutakapokamilika.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 tena tukiwa tayari kuadhibu kila tendo la kutotii, kutii kwenu kutakapokamilika.

Tazama sura Nakili




2 Wakorintho 10:6
12 Marejeleo ya Msalaba  

Wewe ujisifuye katika torati, kwa kuiasi torati wamvunjia Mungu heshima?


Mnataka nini? Nije kwenu na fimbo, au katika upendo na roho ya upole?


Kwa biyo, naandika liayo nisipokuwapo, illi, nikiwapo, nisitumie ukali kwa kadiri ya uwezo ule niliopewa na Bwana illi kujenga wala si kubomoa.


Nimetangulia kuwaambia: na kama vile nilipokuwapo marra ya pili, vivyo hivyo sasa nisipokuwapo natangulia kuwaambia wao waliofanya dhambi zamani, na wengine wote, ya kwamba, nikija, sitahurumia:


Maana naliandika kwa sababu hii pia, illi nipate bayana kwenu kwamba m wenye kutii katika mambo yote.


Na mapenzi yake kwenu yamekuwa mengi kupita kiasi, akumbukapo kutii kwenu ninyi nyote, jinsi mlivyomkaribisha kwa khofu na kutetemeka.


Katika hao wamo Humenayo na Iskander, ambao nimempa Shetani wafundishwe wasimtukane Mungu.


Kwa hiyo, nikija, nitamkumbusha matendo yake ate-ndayo, akitoa upuzi juu yetu kwa maneno maovu; wala hatoshwi na hayo, yeye mwenyewe hawakaribishi ndugu, na wale watakao kuwakaribisha, huwazuia, na kuwatoa katika kanisa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo