2 Wakorintho 10:4 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19214 maana silaha za vita yetu si za mwili, bali zina uwezo katika Mungu kuangusha ngome; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Maana, silaha tunazotumia katika vita vyetu si silaha za kidunia, ila ni nguvu ya Mungu yenye kuharibu ngome zote. Tunaharibu hoja zote za uongo Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Maana, silaha tunazotumia katika vita vyetu si silaha za kidunia, ila ni nguvu ya Mungu yenye kuharibu ngome zote. Tunaharibu hoja zote za uongo Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Maana, silaha tunazotumia katika vita vyetu si silaha za kidunia, ila ni nguvu ya Mungu yenye kuharibu ngome zote. Tunaharibu hoja zote za uongo Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Silaha za vita vyetu si za mwili, bali zina uwezo katika Mungu hata kuangusha ngome. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Silaha za vita vyetu si za mwili, bali zina uwezo katika Mungu hata kuangusha ngome, Tazama sura |