2 Wakorintho 10:18 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192118 Maana mtu mwenye kubaliwa si yeye ajisifuye, hali yeve asifiwae na Bwana. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Anayekubaliwa si yule anayejisifu mwenyewe, bali yule anayesifiwa na Bwana. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Anayekubaliwa si yule anayejisifu mwenyewe, bali yule anayesifiwa na Bwana. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Anayekubaliwa si yule anayejisifu mwenyewe, bali yule anayesifiwa na Bwana. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Kwa maana si yeye ajisifuye mwenyewe akubaliwaye, bali yeye ambaye Mwenyezi Mungu humsifu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Kwa maana si yeye ajisifuye mwenyewe akubaliwaye, bali yeye ambaye Mwenyezi Mungu humsifu. Tazama sura |