2 Wakorintho 1:15 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192115 Na nikiwa na timiaini hilo nalitaka kwenda kwenu hapo kwanza, illi mpate karama ya pili; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Nikiwa na matumaini hayo, nilikusudia kuja kwenu hapo awali ili mpate baraka maradufu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Nikiwa na matumaini hayo, nilikusudia kuja kwenu hapo awali ili mpate baraka maradufu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Nikiwa na matumaini hayo, nilikusudia kuja kwenu hapo awali ili mpate baraka maradufu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Kwa kuwa nilikuwa na uhakika wa mambo haya, nilitaka nije kwenu kwanza, ili mpate faida mara mbili. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Kwa kuwa nilikuwa na uhakika wa mambo haya, nilitaka nije kwenu kwanza, ili mpate faida mara mbili. Tazama sura |