2 Wakorintho 1:13 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192113 Maana hatuwaandikii ninyi neno, illa yale msomayo, au kuyakiri; nami nataraja ya kuwa mtayakiri hatta mwisho; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Tunawaandikia nyinyi mambo mnayoweza kuyasoma na kuyaelewa. Ninatumaini kwamba mtaelewa vizuri kabisa, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Tunawaandikia nyinyi mambo mnayoweza kuyasoma na kuyaelewa. Ninatumaini kwamba mtaelewa vizuri kabisa, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Tunawaandikia nyinyi mambo mnayoweza kuyasoma na kuyaelewa. Ninatumaini kwamba mtaelewa vizuri kabisa, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Kwa maana hatuwaandikii mambo ambayo hamwezi kusoma au kuyaelewa. Natumaini kwamba, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Kwa maana hatuwaandikii mambo ambayo hamwezi kusoma au kuyaelewa. Natumaini kwamba, Tazama sura |