Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Wakorintho 1:13 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

13 Maana hatuwaandikii ninyi neno, illa yale msomayo, au kuyakiri; nami nataraja ya kuwa mtayakiri hatta mwisho;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Tunawaandikia nyinyi mambo mnayoweza kuyasoma na kuyaelewa. Ninatumaini kwamba mtaelewa vizuri kabisa,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Tunawaandikia nyinyi mambo mnayoweza kuyasoma na kuyaelewa. Ninatumaini kwamba mtaelewa vizuri kabisa,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Tunawaandikia nyinyi mambo mnayoweza kuyasoma na kuyaelewa. Ninatumaini kwamba mtaelewa vizuri kabisa,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Kwa maana hatuwaandikii mambo ambayo hamwezi kusoma au kuyaelewa. Natumaini kwamba,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Kwa maana hatuwaandikii mambo ambayo hamwezi kusoma au kuyaelewa. Natumaini kwamba,

Tazama sura Nakili




2 Wakorintho 1:13
6 Marejeleo ya Msalaba  

Kulipokucha hawakuitambua ile inchi, illa waliona hori yenye ufuko, wakashauriana kuiegesha merikebu huko, kama ikiwezekana.


na yeye atawathubutisheni hatta mwisho, msilaumiwe siku ile ya Bwana wetu Yesu Kristo.


Lakini natumaini kama mtajua ya kuwa sisi hatukukataliwa.


lakini tumekataa mambo ya aibu yaliyosetirika, wala hatuenendi kwa ujanja, wala kulichanganya neno la Mungu na uwongo; hali kwa kuidhihirisha iliyo kweli twajionyesha kuwa na haki, dhamiri za watu zikitushuhudia mhele za Mungu.


Bassi tukiijua khofu ya Bwana, twawavuta wana Adamu; lakini tumedhihirishwa mbele za Mungu. Nami natumaini ya kuwa tunadhihirishwa katika dhamiri zenu pia.


illi ushirika wa imani yako ufanye kazi yake katika ujuzi wa killa kitu chema kilicho kwenu katika Kristo Yesu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo