Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Timotheo 4:7 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

7 Nimevifanya vita vilivyo vizuri, mwendo nimeumaliza, Imani nimeilinda;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Nimefanya bidii katika mashindano, nimemaliza safari yote na imani nimeitunza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Nimefanya bidii katika mashindano, nimemaliza safari yote na imani nimeitunza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Nimefanya bidii katika mashindano, nimemaliza safari yote na imani nimeitunza.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Nimevipiga vita vizuri, mashindano nimeyamaliza, imani nimeilinda.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Nimevipiga vita vizuri, mashindano nimeyamaliza, imani nimeilinda.

Tazama sura Nakili




2 Timotheo 4:7
22 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini yeye akasema, Bali afadhali wa kheri wenye kulisikia neno la Mungu na kulishika.


Nazo penye udongo mwema, hawa ndio ambao kwamba kwa moyo mzuri na mwema hulisikia neno, wakalishika, wakazaa kwa saburi.


Jina lako nimewadhihirishia watu wale ulionipa katika ulimwengu; wahkuwa wako, ukanipa mimi: na neno lako wamelishika.


Yesu akawaambia, Chakula changu ndicho hiki, niyatende mapenzi yake aliyenipeleka nikaimalize kazi yake.


Nae Yohana alipokuwa akimaliza mwendo wake alinena, Mwanidhani mimi kuwa nani? Mimi siye. Lakini, angalieni, anakuja mmoja nyuma yangu ambae mimi sistahili kumlegezea viatu vya miguu yake.


Lakini siyahesabu maisha yaugu kuwa kitu cha thamani kwangu kama kuumaliza mwendo wangu na khuduma ile niliyopokea kwa Bwana Yesu, kuishuhudia Injili ya neema ya Mungu.


Nami nalikwenda kwa kufunuliwa, nikawaeleza injili ile niikhubirivyo katika mataifa, lakini kwa faraglia kwa hao walio wenye sifa, isiwe labda napiga mbio burre au nalipiga mbio burre.


mkiwa na mashindano yale yale mliyoyaona kwangu, mkasikia kvvamba ninayo hatta sasa.


Agizo hilo nakupa iwe akiba, mwanangu Timotheo, kwa ajili ya maneno ya unabii yalivotangulia juu yako, illi katika hayo ufanye vile vita vizuri;


Fanya vita vile vizuri vya imani, shika uzima wa milele ulioitiwa, ukayaungama maungamo mazuri mbele ya mashahidi wengi.


Timotheo, ilinde amana, ukijiepisha na maneno yasiyo ya dini, yasiyo maana, na mashindano ya elimu iitwayo elimu kwa nwongo;


Ilinde ile amana nzuri kwa Rolio Mtakatifu akaae ndani yetu.


Bali wewe umeyafuata mafundisho yangu, na mwenendo wangu, na makusudi yangu, na imani, na upole, na upendo, na uvumilivu,


Kwa kuwa ulilishika neno la uvumilivu wangu, mimi nami nitakulinda, utoke katika saa ya kujaribiwa iliyo tayari kuujia ulimwengu wote, kuwajaribu wakaao juu ya inchi.


Najua matendo yako. Tazama, nimekupa mlango uliofunguliwa mbele yako, wala hapana awezae kuufunga, kwa kuwa unazo nguvu kidogo, nawe ulilitunza neno langu, wala hukulikana jina langu.


Wakapewa killa mmoja nguo ndefu, nyeupe, wakaambiwa wastarehe bado muda mchache, hatta itakapotimia hesabu ya wajoli wao na ndugu zao watakaouawa vile vile kama wao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo