Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Timotheo 4:4 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

4 nao watajiepusha na kusikia yaliyo kweli watageukia hadithi za uwongo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Watakataa kuusikia ukweli, watageukia hadithi za uongo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Watakataa kuusikia ukweli, watageukia hadithi za uongo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Watakataa kuusikia ukweli, watageukia hadithi za uongo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Watakataa kusikiliza kweli na kuzigeukia hadithi za uongo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Watakataa kusikiliza kweli na kuzigeukia hadithi za uongo.

Tazama sura Nakili




2 Timotheo 4:4
13 Marejeleo ya Msalaba  

Maana moyo wa watu hawa umekuwa mzito, Na kwa masikio yao hawasikii vema, Na macho yao wameyafumba; Wasije wakaona kwa macho yao Wakasikia kwa masikio yao, Wakafahama kwa mioyo yao, Wakaongoka, Nikawaponya.


Wakapiga kelele kwa sauti kuu, wakaziba masikio yao, wakamrukia kwa nia moja,


Kwa biyo Mungu atawaletea nguvu ya upotevu, wauamini uwongo,


wala wasiangalie hadithi na nasaba zisizo na ukomo, ziletazo maswali wala si ujenzi wa Mungu ulio katika imani; bassi sasa nakuagiza vivyo hivyo.


Bali hadithi za kizee, zisizo za dini, uzikatae.


Timotheo, ilinde amana, ukijiepisha na maneno yasiyo ya dini, yasiyo maana, na mashindano ya elimu iitwayo elimu kwa nwongo;


Wajua hili, ya kuwa wote walio katika Asia wameniacha, katika hao ni Figello na Hermogene.


wasisikilize hadithi za Kiyahudi, na maagizo ya wana Adamn wajiepushao na kweli.


Neema na iwe nanyi nyote. Amin.


Maana hatukufuata hadithi zilozotungwa kwa werevu, tulipowajulislia ninyi nguvu zake Bwana wetu Yesu Kristo na kuja kwake; bali tulikuwa mashahidi wa ukuu wake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo