2 Timotheo 4:18 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192118 Na Bwana ataniokoa na killa neno baya na kunihifadhi hatta uje ufalme wake wa milele. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Bwana ataniokoa na mambo yote maovu, na kunichukua salama mpaka katika ufalme wake wa mbinguni. Kwake uwe utukufu milele na milele! Amina. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Bwana ataniokoa na mambo yote maovu, na kunichukua salama mpaka katika ufalme wake wa mbinguni. Kwake uwe utukufu milele na milele! Amina. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Bwana ataniokoa na mambo yote maovu, na kunichukua salama mpaka katika ufalme wake wa mbinguni. Kwake uwe utukufu milele na milele! Amina. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Bwana Isa ataniokoa katika kila shambulio baya na kunileta salama katika ufalme wake wa mbinguni. Atukuzwe milele na milele. Amen. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Bwana Isa ataniokoa katika kila shambulio baya na kunileta salama katika Ufalme wake wa mbinguni. Atukuzwe yeye milele na milele. Amen. Tazama sura |