Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Timotheo 4:12 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

12 Lakini Tukiko nalimpeleka Efeso.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Nilimtuma Tukiko kule Efeso.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Nilimtuma Tukiko kule Efeso.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Nilimtuma Tukiko kule Efeso.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Nimemtuma Tikiko huko Efeso.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Nimemtuma Tikiko huko Efeso.

Tazama sura Nakili




2 Timotheo 4:12
11 Marejeleo ya Msalaba  

Wakalika Efeso, akawaacha huko. Yeye mwenyewe akaingia katika sunagogi, akahujiana na Wayahudi.


bali aliagana nao, akisema. Sina buddi kufanya siku kuu hii inayokuja Yerusalemi: lakini nitarejea kwenu, Mungu akinijalia.


IKAWA, Apollo alipokuwa Korintho, Paolo, akiisba kupita kati ya inchi za juu, akafika Efeso: akakutana na wanafunzi kadha wa kadba huko:


Na sasa mimi najua ya kuwa ninyi nyote niliowakhubirini ufalme wa Mungu, nikienda huko na huko, hamtaniona uso tena.


Watu hawa wakafuataua nae mpaka Asia, Sopater Mberoya, na Aristarko na Sekundo, watu wa Thessalonika, na Gayo mtu wa Derbe, na Tukiko na Trofumo watu wa Asia.


Illakini ninyi nanyi mpate kuyajua mamho yangu ni hali gani, Tukiko, ndugu mpendwa, mkhudumu mwaminifu katika Bwana, atawajulisha mambo yote;


ambae nilimpeleka kwenu kwa kusudi hili hili mpate kuyajua mambo yetu, nae akawafariji mioyo yenu.


Tukiko, ndugu mpendwa, mtumishi mwaminifu, mjoli wangu katika Bwana, atawaarifu mambo yangu yote;


Kama vile nilivyotaka ukae katika Efeso nilipokuwa nikisafiri kwenda Makedonia, illi, nwaagize wengine wasifundishe elimu ya namna nyingine,


Nitakapomtuma Artema kwako an Tukiko, jitahidi kuja kwangu hatta Nikopoli; maana huku nimekusudia kukaa wakati wa baridi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo