2 Timotheo 2:9 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19219 Katika huyu nimeteswa kiasi cha kufungwa, kama mtenda mabaya; illakini neno la Mungu halifungwi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 na ambayo kwa sababu yake mimi nateseka na nimefungwa minyororo kama mhalifu. Lakini neno la Mungu haliwezi kufungwa minyororo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 na ambayo kwa sababu yake mimi nateseka na nimefungwa minyororo kama mhalifu. Lakini neno la Mungu haliwezi kufungwa minyororo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 na ambayo kwa sababu yake mimi nateseka na nimefungwa minyororo kama mhalifu. Lakini neno la Mungu haliwezi kufungwa minyororo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 ambayo kwayo ninateseka hata kufikia hatua ya kufungwa minyororo kama mhalifu. Lakini neno la Mungu halifungwi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 ambayo kwayo ninateseka hata kufikia hatua ya kufungwa minyororo kama mhalifu. Lakini neno la Mwenyezi Mungu halifungwi. Tazama sura |