Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Timotheo 2:6 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

6 Yampasa mkulima mwenye taabu ya kazi kuwa wa kwanza wa kuyashiriki matunda.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Mkulima ambaye amefanya kazi ngumu anastahili kupata sehemu ya kwanza ya mavuno.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Mkulima ambaye amefanya kazi ngumu anastahili kupata sehemu ya kwanza ya mavuno.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Mkulima ambaye amefanya kazi ngumu anastahili kupata sehemu ya kwanza ya mavuno.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Mkulima mwenye bidii ya kazi ndiye anayestahili kuwa wa kwanza kupata fungu la mavuno.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Mkulima mwenye bidii ya kazi ndiye anayestahili kuwa wa kwanza kupata fungu la mavuno.

Tazama sura Nakili




2 Timotheo 2:6
14 Marejeleo ya Msalaba  

KWA maana ufalme wa mbinguni umefanana na mtu mwenye nyumba, aliyetoka alfajiri kwenda kuajiri wakulima awapeleke katika shamba lake la mizabibu.


Bassi yule aliyepokea talanta tano akashika njia, akafanya kazi nazo, akachuma talanta nyingine tano.


Akawaambia, Mavuno ni mengi, illakini watenda kazi wachache; mwombeni, bassi, Bwana wa mavuno, apate kupeleka watenda kazi mavunoni mwake.


Nami nafanya haya yote kwa ajili ya Injili nipate kuishiriki pamoja na wengine.


Yafahamu sana hayo nisemayo, maana Bwana atakupa akili katika mambo yote.


Maana mnahitaji uvumilivu, illi mkiisha kuyafanya mapenzi ya Mungu muipate abadi.


Maana inchi iinywayo mvua iijiayo marra kwa marra, na kuzaa maboga yejiye manufaa kwa hao ambao kwa ajili yao yalimwa, hupokea baraka kwa Mungu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo