2 Timotheo 2:6 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19216 Yampasa mkulima mwenye taabu ya kazi kuwa wa kwanza wa kuyashiriki matunda. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Mkulima ambaye amefanya kazi ngumu anastahili kupata sehemu ya kwanza ya mavuno. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Mkulima ambaye amefanya kazi ngumu anastahili kupata sehemu ya kwanza ya mavuno. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Mkulima ambaye amefanya kazi ngumu anastahili kupata sehemu ya kwanza ya mavuno. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Mkulima mwenye bidii ya kazi ndiye anayestahili kuwa wa kwanza kupata fungu la mavuno. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Mkulima mwenye bidii ya kazi ndiye anayestahili kuwa wa kwanza kupata fungu la mavuno. Tazama sura |