2 Timotheo 2:4 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19214 Hakuna mfanya vita ajitiae katika shughuli za dunia; illi ampendeze yeye aliyemwandika awe askari. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Mwanajeshi vitani hujiepusha na shughuli za maisha ya kawaida, ili aweze kumpendeza mkuu wa jeshi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Mwanajeshi vitani hujiepusha na shughuli za maisha ya kawaida, ili aweze kumpendeza mkuu wa jeshi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Mwanajeshi vitani hujiepusha na shughuli za maisha ya kawaida, ili aweze kumpendeza mkuu wa jeshi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Hakuna askari yeyote ambaye akiwa vitani hujishughulisha na mambo ya kawaida ya maisha haya kwa sababu nia yake ni kumpendeza yule aliyemwandika awe askari. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Hakuna askari yeyote ambaye akiwa vitani hujishughulisha na mambo ya kawaida ya maisha haya kwa sababu nia yake ni kumpendeza yule aliyemwandika awe askari. Tazama sura |