Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Timotheo 2:3 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

3 Ushiriki taabu pamoja nami, kama askari mwema wa Yesu Kristo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Shiriki katika mateso kama askari mwaminifu wa Kristo Yesu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Shiriki katika mateso kama askari mwaminifu wa Kristo Yesu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Shiriki katika mateso kama askari mwaminifu wa Kristo Yesu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Vumilia taabu pamoja nasi kama askari mwema wa Al-Masihi Isa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Vumilia taabu pamoja nasi kama askari mwema wa Al-Masihi Isa.

Tazama sura Nakili




2 Timotheo 2:3
20 Marejeleo ya Msalaba  

Bassi, wale askari wakamchukua Paolo kamu walivyoamriwa, wakampeleka hatta Antipatri usiku:


hustahimili yote, huamini yote, hutumaini yote, huvumilia yote.


Nani aendae vitani wakati wo wote kwa gharama zake mwenyewe? Nani apandae mizabibu asiokula baadhi ya matunda yake? Au nani achungae kundi, asiyekula haadhi ya maziwa ya kundi?


Lakini ikiwa sisi tu katika shidda, ni kwa ajili ya faraja yenu na wokofu wenu, ufanyao kazi yake kwa kuvumilia mateso yale yale tuteswayo na sisi: au ikiwa twafarijiwa, ni kwa ajili ya faraja yenu na wokofu wenu.


Agizo hilo nakupa iwe akiba, mwanangu Timotheo, kwa ajili ya maneno ya unabii yalivotangulia juu yako, illi katika hayo ufanye vile vita vizuri;


PAOLO, mtume wa Yesu Kristo, kama alivyopenda Mungu, kwa ahadi ya uzima ulio katika Yesu Kristo:


Bassi usiutahayarikie ushuhuda wa Bwana wetu, wala mimi mtumwa wake, bali uvumilie mabaya pamoja na Injili kwa kadiri ya nguvu ya Mungu;


Kwa ajili ya hilo nastahimili yote, kwa ajili ya wateule, wao nao waupate wokofu ulio katika Kristo Yesu pamoja ua utukufu wa milele.


Katika huyu nimeteswa kiasi cha kufungwa, kama mtenda mabaya; illakini neno la Mungu halifungwi.


tena adha zangu na mateso yaliyonipata katika Antiokia, katika Ikonio, na katika Lustra; killa namna ya adha niliyoistahimili: nae Bwana akaniokoa katika yote.


Bali wewe erevuka katika yote, vumilia mabaya, fanya kazi ya mwinjilisti, timiliza khuduma yako.


na kwa Appia, ndugu yetu mpendwa, na kwa Arkippo askari mwenzetu, na kwa kanisa lililo katika nyumba yako;


Lakini zikumbukeni siku za kwanza, ambazo, mlipokwisha kutiwa nuru, mlistahimili mashindano makubwa ya maumivu;


Kwa imani akatoka Misri, asiogope hasira ya mfalme; maana alistahimili kama amwonae yeye asiyeonekana.


Na hivyo kwa kuvumilia akaipata ile ahadi.


Yu kheri astahimiliye majaribu; kwa sababu akipata kibali ataipokea taji ya uzima, Bwana aliyowaahidia wampendao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo