2 Timotheo 2:19 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192119 Lakini msingi wa Mungu ulio imara umesimama, wenye muhuri hii, Bwana awajua walio wake; tena, killa alilajae jina la Bwana na aache uovu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 Lakini msingi thabiti uliowekwa na Mungu uko imara, na juu yake yameandikwa maneno haya: “Bwana anawafahamu wale walio wake,” na “Kila asemaye yeye ni wa Bwana, ni lazima aachane na uovu.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 Lakini msingi thabiti uliowekwa na Mungu uko imara, na juu yake yameandikwa maneno haya: “Bwana anawafahamu wale walio wake,” na “Kila asemaye yeye ni wa Bwana, ni lazima aachane na uovu.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 Lakini msingi thabiti uliowekwa na Mungu uko imara, na juu yake yameandikwa maneno haya: “Bwana anawafahamu wale walio wake,” na “Kila asemaye yeye ni wa Bwana, ni lazima aachane na uovu.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 Lakini msingi wa Mungu ulio imara umesimama, ukiwa na muhuri wenye maandishi haya: “Mwenyezi Mungu anawajua walio wake”; tena, “Kila alitajaye jina la Mwenyezi Mungu na auache uovu.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 Lakini msingi wa Mwenyezi Mungu ulio imara umesimama, ukiwa na muhuri wenye maandishi haya: “Bwana Mwenyezi anawajua walio wake”; tena, “Kila alitajaye jina la Bwana Mwenyezi, na auache uovu.” Tazama sura |