Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




2 Timotheo 2:17 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

17 na neno lao litakuwa likitafuna kama donda ndugu. Katika hao ni Humenayo na Fileto,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Mafundisho ya aina hiyo ni kama donda linalokula mwili. Miongoni mwa hao waliofundisha hayo ni Humenayo na Fileto.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Mafundisho ya aina hiyo ni kama donda linalokula mwili. Miongoni mwa hao waliofundisha hayo ni Humenayo na Fileto.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Mafundisho ya aina hiyo ni kama donda linalokula mwili. Miongoni mwa hao waliofundisha hayo ni Humenayo na Fileto.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Mafundisho yao yataenea kama kidonda kisichopona. Miongoni mwao wamo Himenayo na Fileto,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Mafundisho yao yataenea kama kidonda kisichopona. Miongoni mwao wamo Himenayo na Fileto,

Tazama sura Nakili




2 Timotheo 2:17
4 Marejeleo ya Msalaba  

Walakini Wayahudi wasioamini wakawataharakisha watu wa mataifa na kuwatia nia mbaya juu ya ndugu.


Katika hao wamo Humenayo na Iskander, ambao nimempa Shetani wafundishwe wasimtukane Mungu.


Dhahabu yenu na fedha yenu zimeingia kutu, na kutu yake itakushuhudieni, nayo itakula miili yenu kama moto. Mmejiwekea akiba katika siku hizi za mwisho.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo