2 Timotheo 2:13 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192113 ikiwa hatuamini, yeye hudumu kuwa mwaminifu, hawezi kujikana nafsi yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Tukikosa kuwa waaminifu, yeye hubaki mwaminifu daima, maana yeye hawezi kujikana mwenyewe.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Tukikosa kuwa waaminifu, yeye hubaki mwaminifu daima, maana yeye hawezi kujikana mwenyewe.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Tukikosa kuwa waaminifu, yeye hubaki mwaminifu daima, maana yeye hawezi kujikana mwenyewe.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Tusipoaminika, yeye hudumu akiwa mwaminifu, kwa maana hawezi kujikana mwenyewe. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Kama tusipoamini, yeye hudumu kuwa mwaminifu, kwa maana hawezi kujikana mwenyewe. Tazama sura |