2 Timotheo 2:12 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192112 kama tukistahimili, tutamiliki pamoja nae pia; kama tukimkana yeye, yeye nae atatukana sisi: Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Tukiendelea kuvumilia, tutatawala pia pamoja naye. Tukimkana, naye pia atatukana. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Tukiendelea kuvumilia, tutatawala pia pamoja naye. Tukimkana, naye pia atatukana. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Tukiendelea kuvumilia, tutatawala pia pamoja naye. Tukimkana, naye pia atatukana. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Kama tukistahimili, pia tutatawala pamoja naye. Kama tukimkana, naye atatukana. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Kama tukistahimili, pia tutatawala pamoja naye. Kama tukimkana yeye, naye atatukana sisi. Tazama sura |
Nikaona viti vya enzi, wakaketi juu yake, wakapewa hukumu: nikaona roho zao waliokatwa kichwa kwa ajili ya ushuhuda wa Yesu, na kwa ajili ya neno la Mungu, na hao wasiomsujudia nyama, wala sanamu yake, wala hawakuipokea alama yake katika vipaji vya nyuso zao, wala katika mikono yao; wakawa hayi, wakamiliki pamoja na Kristo miaka elfu.